1 Wakorintho 12:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC18 Bali Mungu amevitia viungo kila kimoja katika mwili kama alivyotaka. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 Lakini kama ilivyo, Mungu alizipanga sehemu hizo tofauti katika mwili kama alivyopenda. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 Lakini kama ilivyo, Mungu alizipanga sehemu hizo tofauti katika mwili kama alivyopenda. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 Lakini kama ilivyo, Mungu alizipanga sehemu hizo tofauti katika mwili kama alivyopenda. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 Lakini kama ilivyo, Mungu ameweka viungo katika mwili, kila kimoja kama alivyopenda. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 Lakini kama ilivyo, Mungu ameweka viungo katika mwili, kila kimoja kama alivyopenda. Tazama sura |