1 Wakorintho 12:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC12 Maana kama vile mwili ni mmoja, nao una viungo vingi, na viungo vyote vya mwili ule, navyo ni vingi, ni mwili mmoja; vivyo hivyo na Kristo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 Kama vile mwili ulivyo mmoja wenye viungo vingi, na viungo hivyo vyote – ingawaje ni vingi – hufanya mwili mmoja, ndivyo ilivyo pia kwa Kristo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 Kama vile mwili ulivyo mmoja wenye viungo vingi, na viungo hivyo vyote – ingawaje ni vingi – hufanya mwili mmoja, ndivyo ilivyo pia kwa Kristo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 Kama vile mwili ulivyo mmoja wenye viungo vingi, na viungo hivyo vyote — ingawaje ni vingi — hufanya mwili mmoja, ndivyo ilivyo pia kwa Kristo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 Kama vile mwili ulivyo mmoja nao una viungo vingi; navyo viungo vyote vya mwili ingawa ni vingi, ni mwili mmoja; vivyo hivyo na Al-Masihi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 Kama vile mwili ulivyo mmoja nao una viungo vingi, navyo viungo vyote vya mwili ingawa ni vingi, ni mwili mmoja, vivyo hivyo na Al-Masihi. Tazama sura |