Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Wakorintho 11:31 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

31 Lakini kama tungejipambanua nafsi zetu, tusingehukumiwa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

31 Kama tungejichunguza wenyewe vizuri hatungeadhibiwa hivyo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

31 Kama tungejichunguza wenyewe vizuri hatungeadhibiwa hivyo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

31 Kama tungejichunguza wenyewe vizuri hatungeadhibiwa hivyo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

31 Lakini kama tungejichunguza wenyewe tusingehukumiwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

31 Lakini kama tungejichunguza wenyewe tusingehukumiwa.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 11:31
9 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini mtu ajihoji mwenyewe, na hivyo aule mkate, na kukinywea kikombe.


Kwa sababu hiyo wako wengi kwenu walio wagonjwa na dhaifu, na watu kadhaa wamelala.


Ila tuhukumiwapo, twarudiwa na Bwana, isije ikatupasa adhabu pamoja na dunia.


Tukiziungama dhambi zetu, Yeye ni mwaminifu na wa haki hata atuondolee dhambi zetu, na kututakasa na udhalimu wote.


Basi, kumbuka ni wapi ulikoanguka; ukatubu, ukayafanye matendo ya kwanza. Lakini, usipofanya hivyo, naja kwako, nami nitakiondoa kinara chako katika mahali pake, usipotubu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo