1 Wakorintho 11:30 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC30 Kwa sababu hiyo wako wengi kwenu walio wagonjwa na dhaifu, na watu kadhaa wamelala. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema30 Ndiyo maana wengi kati yenu ni dhaifu na wagonjwa, na wengine kadhaa wamekufa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND30 Ndiyo maana wengi kati yenu ni dhaifu na wagonjwa, na wengine kadhaa wamekufa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza30 Ndiyo maana wengi kati yenu ni dhaifu na wagonjwa, na wengine kadhaa wamekufa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu30 Hii ndiyo sababu wengi miongoni mwenu ni wagonjwa na dhaifu na wengine wenu hata wamekufa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu30 Hii ndiyo sababu wengi miongoni mwenu ni wagonjwa na dhaifu na wengine wenu hata wamekufa. Tazama sura |