1 Wakorintho 11:29 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC29 Maana alaye na kunywa, hula na kunywa hukumu ya nafsi yake, kwa kutokuupambanua ule mwili. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema29 maana anayekula na kunywa bila kutambua maana ya mwili wa Bwana, anakula na kunywa hukumu yake yeye mwenyewe. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND29 maana anayekula na kunywa bila kutambua maana ya mwili wa Bwana, anakula na kunywa hukumu yake yeye mwenyewe. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza29 maana anayekula na kunywa bila kutambua maana ya mwili wa Bwana, anakula na kunywa hukumu yake yeye mwenyewe. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu29 Kwa maana mtu yeyote alaye na kunywa pasipo kuutambua mwili wa Bwana Isa, hula na kunywa hukumu juu yake mwenyewe. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu29 Kwa maana mtu yeyote alaye na kunywa pasipo kuutambua mwili wa Bwana Isa, hula na kunywa hukumu juu yake mwenyewe. Tazama sura |