Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Wakorintho 11:28 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

28 Lakini mtu ajihoji mwenyewe, na hivyo aule mkate, na kukinywea kikombe.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

28 Basi, kila mtu ajichunguze mwenyewe kwanza, ndipo ale mkate huo na anywe kikombe hicho;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

28 Basi, kila mtu ajichunguze mwenyewe kwanza, ndipo ale mkate huo na anywe kikombe hicho;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

28 Basi, kila mtu ajichunguze mwenyewe kwanza, ndipo ale mkate huo na anywe kikombe hicho;

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

28 Inampasa mtu ajichunguze mwenyewe, kabla ya kula mkate na kukinywea kikombe.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

28 Inampasa mtu ajichunguze mwenyewe, kabla ya kula mkate na kukinywea kikombe.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 11:28
13 Marejeleo ya Msalaba  

Na tuchunguze njia zetu na kuzijaribu, Na kumrudia BWANA tena.


Basi sasa, BWANA wa majeshi asema hivi, Zitafakarini njia zenu.


BWANA wa majeshi asema hivi, Zitafakarini njia zenu.


Wakahuzunika sana, wakaanza kumwuliza mmoja mmoja, Ni mimi, Bwana?


Maana alaye na kunywa, hula na kunywa hukumu ya nafsi yake, kwa kutokuupambanua ule mwili.


Lakini kama tungejipambanua nafsi zetu, tusingehukumiwa.


Jichunguzeni wenyewe muone kama mmekuwa katika imani; jithibitisheni wenyewe. Au hamjijui wenyewe, kwamba Yesu Kristo yu ndani yenu? Isipokuwa iwe mmekataliwa.


Lakini kila mtu na aipime kazi yake mwenyewe, ndipo atakapokuwa na sababu ya kujisifu ndani ya nafsi yake tu, wala si kwa mwenzake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo