1 Wakorintho 11:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC19 kwa maana lazima kuwapo na uzushi kwenu, ili waliokubaliwa wawe dhahiri kwenu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema19 maana ni lazima fikira tofauti ziweko miongoni mwenu, ili wale walio thabiti wapate kutambulikana. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND19 maana ni lazima fikira tofauti ziweko miongoni mwenu, ili wale walio thabiti wapate kutambulikana. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza19 maana ni lazima fikira tofauti ziweko miongoni mwenu, ili wale walio thabiti wapate kutambulikana. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu19 Bila shaka lazima pawe na tofauti miongoni mwenu ili kuonesha ni nani anayekubaliwa na Mungu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu19 Bila shaka lazima pawe na tofauti miongoni mwenu ili kuonyesha ni nani anayekubaliwa na Mungu. Tazama sura |