Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 11:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

18 Kwa maana kwanza mnapokutanika kanisani nasikia kuna migawanyiko kwenu; nami kwa kiasi fulani naamini;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Awali ya yote, nasikia kwamba mnapokutana pamoja hutokea mafarakano kati yenu. Nami naamini kiasi,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Awali ya yote, nasikia kwamba mnapokutana pamoja hutokea mafarakano kati yenu. Nami naamini kiasi,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Awali ya yote, nasikia kwamba mnapokutana pamoja hutokea mafarakano kati yenu. Nami naamini kiasi,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Kwanza, mnapokutana kama kundi la waumini, nasikia kwamba kuna mgawanyiko miongoni mwenu, nami kwa kiasi fulani nasadiki kuwa ndivyo ilivyo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Kwanza, mnapokutana kama kundi la waumini, nasikia kwamba kuna mgawanyiko miongoni mwenu, nami kwa kiasi fulani nasadiki kuwa ndivyo ilivyo.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 11:18
4 Marejeleo ya Msalaba  

kwa maana hata sasa ninyi ni watu wa tabia ya mwilini. Maana, ikiwa kwenu kuna husuda na fitina, je! Si watu wa tabia ya mwilini ninyi; tena mnaenenda kwa jinsi ya kibinadamu?


Hakika habari imeenea ya kuwa kwenu kuna zinaa, na zinaa ya namna isiyokuwako hata katika Mataifa, kwamba mtu awe na mke wa babaye.


Je! Mmoja wenu akiwa ana shtaka juu ya mwenzake athubutuje kushitaki mbele ya wasio haki, wala si mbele ya watakatifu?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo