1 Wakorintho 11:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC17 Lakini katika kuagiza haya, siwasifu, ya kwamba mnakusanyika, si kwa faida bali kwa hasara. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema17 Nikiwa bado nawapeni maagizo haya, siwezi hata kidogo kuwapa nyinyi hongera kuhusu haya yafuatayo: Mikutano yenu nyinyi waumini yaleta hasara zaidi kuliko faida. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND17 Nikiwa bado nawapeni maagizo haya, siwezi hata kidogo kuwapa nyinyi hongera kuhusu haya yafuatayo: Mikutano yenu nyinyi waumini yaleta hasara zaidi kuliko faida. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza17 Nikiwa bado nawapeni maagizo haya, siwezi hata kidogo kuwapa nyinyi hongera kuhusu haya yafuatayo: mikutano yenu nyinyi waumini yaleta hasara zaidi kuliko faida. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu17 Basi katika maagizo yafuatayo, siwezi kuwasifu, kwa sababu mkutanikapo si kwa ajili ya faida bali kwa hasara. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu17 Basi katika maagizo yafuatayo, siwezi kuwasifu, kwa sababu mkutanikapo si kwa ajili ya faida bali kwa hasara. Tazama sura |