1 Wakorintho 11:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC16 Lakini mtu yeyote akitaka kuleta fitina, sisi hatuna desturi kama hiyo, wala makanisa ya Mungu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 Kama mtu anataka kuleta ubishi juu ya jambo hili, basi, na ajue kwamba sisi hatuna desturi nyingine, wala makanisa ya Mungu hayana desturi nyingine. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 Kama mtu anataka kuleta ubishi juu ya jambo hili, basi, na ajue kwamba sisi hatuna desturi nyingine, wala makanisa ya Mungu hayana desturi nyingine. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 Kama mtu anataka kuleta ubishi juu ya jambo hili, basi, na ajue kwamba sisi hatuna desturi nyingine, wala makanisa ya Mungu hayana desturi nyingine. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 Kama mtu anataka kubishana kuhusu jambo hili, sisi wala makundi ya waumini ya Mungu hatutambui desturi nyingine. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 Kama mtu anataka kubishana juu ya jambo hili, sisi wala makundi ya waumini ya Mungu hatutambui desturi nyingine. Tazama sura |