Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 11:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

14 Je! Hayo maumbile yenyewe hayawafundishi ya kwamba mwanamume akiwa na nywele ndefu ni aibu kwake?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Hata maumbile yenyewe huonesha wazi kwamba kwa mwanamume kuwa na nywele ndefu ni aibu kwake mwenyewe;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Hata maumbile yenyewe huonesha wazi kwamba kwa mwanamume kuwa na nywele ndefu ni aibu kwake mwenyewe;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Hata maumbile yenyewe huonesha wazi kwamba kwa mwanamume kuwa na nywele ndefu ni aibu kwake mwenyewe;

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 Je, maumbile ya asili hayatufundishi kuwa ni aibu kwa mwanaume kuwa na nywele ndefu?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 Je, maumbile ya asili hayatufundishi kuwa ni aibu kwa mwanaume kuwa na nywele ndefu?

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 11:14
5 Marejeleo ya Msalaba  

Naye aliponyoa kichwa, (basi mwisho wa kila mwaka hunyoa; na kwa sababu nywele zilikuwa nzito kwake, kwa hiyo akanyoa;) hupima nywele za kichwa chake shekeli mia mbili kwa uzani wa mfalme.


Yesu akajibu, Mimi sina pepo; lakini mimi namheshimu Baba yangu, na ninyi mwanivunjia heshima yangu.


Je! Inapendeza mwanamke amwombe Mungu asipofunika kichwa?


Lakini mwanamke akiwa na nywele ndefu ni fahari kwake. Kwa sababu amepewa zile nywele ndefu ili ziwe badala ya mavazi.


Nao wakitaka kujifunza neno lolote, na wawaulize waume zao wenyewe nyumbani mwao; maana ni aibu wanawake kunena katika kanisa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo