Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Wakorintho 10:30 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

30 Ikiwa mimi natumia sehemu yangu kwa shukrani, kwa nini nitukanwe, kwa ajili ya kitu nikishukuriacho?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

30 Ikiwa mimi nashiriki chakula hicho huku namshukuru Mungu, kwa nini nilaumiwe kwa chakula ambacho kwa ajili yake nimemshukuru Mungu?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

30 Ikiwa mimi nashiriki chakula hicho huku namshukuru Mungu, kwa nini nilaumiwe kwa chakula ambacho kwa ajili yake nimemshukuru Mungu?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

30 Ikiwa mimi nashiriki chakula hicho huku namshukuru Mungu, kwa nini nilaumiwe kwa chakula ambacho kwa ajili yake nimemshukuru Mungu?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

30 Nikila kwa shukrani, kwa nini nashutumiwa kwa ajili ya kile ambacho ninamshukuria Mungu?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

30 Kama nikila kwa shukrani, kwa nini nashutumiwa kwa kile ambacho kwa hicho ninamshukuru Mungu?

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 10:30
4 Marejeleo ya Msalaba  

Basi, huo wema wenu usitajwe kwa ubaya.


Yeye aadhimishaye siku, huiadhimisha kwa Bwana; naye alaye, hula kwa Bwana, kwa maana amshukuru Mungu; tena asiyekula, hali kwa Bwana, naye pia amshukuru Mungu.


Je! Mimi siko huru? Mimi si mtume? Mimi sikumwona Yesu Bwana wetu? Ninyi si kazi yangu katika Bwana?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo