1 Wakorintho 10:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC21 Hamwezi kushirikiana katika meza ya Bwana na katika meza ya mashetani. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema21 Hamwezi kunywa kikombe cha Bwana na kikombe cha pepo; hamwezi kushiriki katika Karamu ya Bwana na katika meza ya pepo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND21 Hamwezi kunywa kikombe cha Bwana na kikombe cha pepo; hamwezi kushiriki katika Karamu ya Bwana na katika meza ya pepo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza21 Hamwezi kunywa kikombe cha Bwana na kikombe cha pepo; hamwezi kushiriki katika Karamu ya Bwana na katika meza ya pepo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu21 Hamwezi kunywa katika kikombe cha Bwana Isa na cha mashetani pia. Hamwezi kuwa na sehemu katika Chakula cha Bwana Isa na katika chakula cha mashetani pia. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu21 Hamwezi kunywa katika kikombe cha Bwana Isa na cha mashetani pia. Hamwezi kuwa na sehemu katika chakula cha Bwana Isa na katika chakula cha mashetani pia. Tazama sura |