1 Wakorintho 1:31 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC31 kusudi, kama ilivyoandikwa, Yeye aonaye fahari na aone fahari juu ya Bwana. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema31 Basi, kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: “Mwenye kutaka kujivuna, na ajivunie kazi ya Bwana.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND31 Basi, kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: “Mwenye kutaka kujivuna, na ajivunie kazi ya Bwana.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza31 Basi, kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: “Mwenye kutaka kujivuna, na ajivunie kazi ya Bwana.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu31 Hivyo, kama ilivyoandikwa: “Yeye ajisifuye na ajisifu katika Mwenyezi Mungu.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu31 Hivyo, kama ilivyoandikwa: “Yeye ajisifuye na ajisifu katika Bwana Mwenyezi.” Tazama sura |