1 Wafalme 8:61 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC61 Mioyo yenu na iwe kamili kwa BWANA, Mungu wetu, kuenenda katika sheria zake, na kuzishika amri zake, kama ilivyo leo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema61 Nanyi, muwe waaminifu kwa Mwenyezi-Mungu, Mungu wetu, mkifuata masharti yake na kutii amri zake zote kama mnavyofanya hivi leo.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND61 Nanyi, muwe waaminifu kwa Mwenyezi-Mungu, Mungu wetu, mkifuata masharti yake na kutii amri zake zote kama mnavyofanya hivi leo.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza61 Nanyi, muwe waaminifu kwa Mwenyezi-Mungu, Mungu wetu, mkifuata masharti yake na kutii amri zake zote kama mnavyofanya hivi leo.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu61 Lazima mwiweke mioyo yenu kikamilifu kwa Mwenyezi Mungu, Mungu wetu, mwishi kwa maagizo yake na kutii amri zake, kama ilivyo wakati huu.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu61 Lakini ni lazima mwiweke mioyo yenu kikamilifu kwa bwana Mwenyezi Mungu wetu, kuishi kwa maagizo yake na kutii amri zake, kama ilivyo wakati huu.” Tazama sura |