1 Wafalme 8:31 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC31 Ikiwa mtu amemkosa mwenzake, na kupewa sharti ya kiapo aapishwe, naye akija na kuapa hapa mbele ya madhabahu yako, katika nyumba hii; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema31 “Mtu akimkosea mwenzake, naye akaletwa apate kuapa mbele ya madhabahu yako katika nyumba hii, naye akiapa, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND31 “Mtu akimkosea mwenzake, naye akaletwa apate kuapa mbele ya madhabahu yako katika nyumba hii, naye akiapa, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza31 “Mtu akimkosea mwenzake, naye akaletwa apate kuapa mbele ya madhabahu yako katika nyumba hii, naye akiapa, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu31 “Mtu akimkosea jirani yake na akatakiwa kuapa, akija na kuapa mbele ya madhabahu yako ndani ya Hekalu hili, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu31 “Mtu anapomkosea jirani yake na akatakiwa kuapa, akija na kuapa mbele ya madhabahu yako ndani ya Hekalu hili, Tazama sura |