1 Wafalme 6:37 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC37 Katika mwaka wa nne nyumba ya BWANA ilitiwa msingi, katika mwezi wa Zivu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema37 Msingi wa nyumba ya Mwenyezi-Mungu ulijengwa mnamo mwezi wa Zifu katika mwaka wa nne. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND37 Msingi wa nyumba ya Mwenyezi-Mungu ulijengwa mnamo mwezi wa Zifu katika mwaka wa nne. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza37 Msingi wa nyumba ya Mwenyezi-Mungu ulijengwa mnamo mwezi wa Zifu katika mwaka wa nne. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu37 Msingi wa Hekalu la Mwenyezi Mungu uliwekwa katika mwaka wa nne, katika mwezi wa Zivu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu37 Msingi wa Hekalu la bwana uliwekwa katika mwaka wa nne, katika mwezi wa Zivu, ndio mwezi wa tano. Tazama sura |