1 Wafalme 4:26 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC26 Tena Sulemani alikuwa na mabanda ya farasi elfu arubaini kwa magari yake, na wapandao farasi elfu kumi na mbili. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema26 Solomoni alikuwa na vibanda 40,000 kwa ajili ya farasi wa magari yake ya kukokotwa, na askari wapandafarasi 12,000. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND26 Solomoni alikuwa na vibanda 40,000 kwa ajili ya farasi wa magari yake ya kukokotwa, na askari wapandafarasi 12,000. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza26 Solomoni alikuwa na vibanda 40,000 kwa ajili ya farasi wa magari yake ya kukokotwa, na askari wapandafarasi 12,000. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu26 Sulemani alikuwa na mabanda elfu nne ya magari ya vita, na farasi elfu kumi na mbili. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu26 Sulemani alikuwa na mabanda 4,000 ya magari ya vita, na farasi 12,000. Tazama sura |