Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wafalme 4:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

15 Ahimaasi, katika Naftali; naye ndiye aliyemwoa Basemathi binti Sulemani.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Ahimaasi, mumewe Basemathi, binti Solomoni, alisimamia wilaya ya Naftali.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Ahimaasi, mumewe Basemathi, binti Solomoni, alisimamia wilaya ya Naftali.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Ahimaasi, mumewe Basemathi, binti Solomoni, alisimamia wilaya ya Naftali.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Ahimaasi: katika Naftali (alikuwa amemwoa Basemathi binti Sulemani);

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Ahimaasi: katika Naftali (alikuwa amemwoa Basemathi binti Sulemani);

Tazama sura Nakili




1 Wafalme 4:15
5 Marejeleo ya Msalaba  

Esau alipokuwa mwenye miaka arubaini, akamwoa Yudithi, binti Beeri, Mhiti, na Basemathi, binti Eloni, Mhiti.


Kisha mfalme akamwambia Sadoki, kuhani, Angalia, rudini mjini kwa amani, na wana wenu wawili pamoja nanyi, Ahimaasi, mwana wako, na Yonathani, mwana wa Abiathari.


Mwana wa Abinadabu katika Nafath-dori yote; ndiye aliyekuwa naye Tafathi binti Sulemani kuwa mke wake.


Naye Daudi akamwambia Sauli, Mimi ni nani, na jamaa zangu ni akina nani, au mbari ya babangu, katika Israeli, hata mimi niwe mkwewe mfalme?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo