Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wafalme 4:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

14 Ahinadabu mwana wa Ido, katika Mahanaimu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Ahinadabu, mwana wa Ido, alisimamia jimbo la Mahanaimu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Ahinadabu, mwana wa Ido, alisimamia jimbo la Mahanaimu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Ahinadabu, mwana wa Ido, alisimamia jimbo la Mahanaimu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 Ahinadabu mwana wa Ido: katika Mahanaimu;

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 Ahinadabu mwana wa Ido: katika Mahanaimu;

Tazama sura Nakili




1 Wafalme 4:14
7 Marejeleo ya Msalaba  

Naye Yakobo alipowaona, alisema, Hili ni jeshi la Mungu. Akapaita mahali pale, Mahanaimu.


Basi Daudi akaja Mahanaimu. Naye Absalomu akauvuka Yordani yeye na watu wote wa Israeli pamoja naye.


Ikawa, Daudi alipofika Mahanaimu, Shobi, mwana wa Nahashi wa Raba, wa wana wa Amoni, na Makiri, mwana wa Amieli wa Lo-debari, na Barzilai, Mgileadi wa Rogelimu,


Basi Abneri, mwana wa Neri, kamanda wa jeshi la Sauli, alikuwa amemtwaa Ishboshethi, mwana wa Sauli, na kumvusha na kumpeleka Mahanaimu;


wa nusu kabila la Manase katika Gileadi, Ido mwana wa Zekaria; wa Benyamini, Yaasieli mwana wa Abneri;


tena kutoka Heshboni mpaka Ramath-Mizpe, na Betonimu; tena kutoka Mahanaimu hadi mpaka wa Debiri;


Tena katika kabila la Gadi Ramothi katika Gileadi pamoja na mbuga zake za malisho, huo mji wa makimbilio kwa ajili ya mwuaji, na Mahanaimu pamoja na mbuga zake za malisho;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo