Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wafalme 3:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

10 Neno hili likawa jema machoni pa Bwana, ya kuwa Sulemani ameomba neno hili.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Ombi hili la Solomoni lilimfurahisha Mwenyezi-Mungu,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Ombi hili la Solomoni lilimfurahisha Mwenyezi-Mungu,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Ombi hili la Solomoni lilimfurahisha Mwenyezi-Mungu,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Bwana akapendezwa kwamba Sulemani ameliomba jambo hili.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Bwana akapendezwa kwamba Sulemani ameliomba jambo hili.

Tazama sura Nakili




1 Wafalme 3:10
4 Marejeleo ya Msalaba  

Mungu akamwambia, Kwa kuwa umeomba neno hili, wala hukujitakia maisha ya siku nyingi; wala hukutaka utajiri kwa nafsi yako; wala hukutaka roho za adui zako; bali umejitakia akili za kujua kuhukumu;


Kwa hiyo nipe mimi mtumwa wako moyo wa adili niwahukumu watu wako, na kupambanua mema na mabaya; maana ni nani awezaye kuwahukumu watu hawa wako walio wengi?


Sadaka ya mtu mbaya ni chukizo kwa BWANA; Bali maombi ya mtu mnyofu ni furaha yake.


Yeye hubadili majira na nyakati; hutengua na kuteua wafalme; huwapa hekima wenye hekima; huwapa wenye ufahamu maarifa;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo