Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Wafalme 22:41 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

41 Yehoshafati mwana wa Asa alianza kutawala juu ya Yuda, katika mwaka wa nne wa Ahabu mfalme wa Israeli.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

41 Mnamo mwaka wa nne wa utawala wa mfalme Ahabu wa Israeli, Yehoshafati mwana wa Asa, alianza kutawala Yuda.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

41 Mnamo mwaka wa nne wa utawala wa mfalme Ahabu wa Israeli, Yehoshafati mwana wa Asa, alianza kutawala Yuda.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

41 Mnamo mwaka wa nne wa utawala wa mfalme Ahabu wa Israeli, Yehoshafati mwana wa Asa, alianza kutawala Yuda.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

41 Yehoshafati mwana wa Asa akawa mfalme wa Yuda katika mwaka wa nne wa Ahabu mfalme wa Israeli.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

41 Yehoshafati mwana wa Asa akawa mfalme wa Yuda katika mwaka wa nne wa Ahabu mfalme wa Israeli.

Tazama sura Nakili




1 Wafalme 22:41
7 Marejeleo ya Msalaba  

Asa akalala na babaze, akazikwa pamoja na babaze mjini mwa Daudi baba yake. Na Yehoshafati mwanawe akatawala mahali pake.


Ikawa, mwaka wa tatu Yehoshafati mfalme Wa Yuda akamshukia mfalme wa Israeli.


Basi Ahabu akalala na baba zake; na Ahazia mwanawe akatawala mahali pake.


Yehoshafati alikuwa mwenye miaka thelathini na mitano alipoanza kutawala; akatawala miaka ishirini na mitano huko Yerusalemu. Na jina la mamaye aliitwa Azuba binti Shilhi.


Na wazawa wa Sulemani walikuwa: Rehoboamu mwanawe; mwanawe huyo alikuwa Abiya; na mwanawe huyo ni Asa; na mwanawe huyo ni Yehoshafati;


Na Yehoshafati mwanawe akatawala mahali pake, akajitia nguvu juu ya Israeli.


Yehoshafati alipoanza kutawala Yuda; alikuwa na umri wa miaka ishirini na mitano, huko Yerusalemu, akatawala miaka ishirini na mitano huko Yerusalemu; na jina la mamaye aliitwa Azuba binti Shilhi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo