1 Wafalme 22:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC14 Mikaya akasema, Kama BWANA aishivyo, neno lile BWANA aniambialo, ndilo nitakalolinena. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema14 Lakini Mikaya akamjibu, “Ninaapa kwa Mwenyezi-Mungu aliye hai, mimi nitasema tu yale atakayoniambia Mwenyezi-Mungu.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 Lakini Mikaya akamjibu, “Ninaapa kwa Mwenyezi-Mungu aliye hai, mimi nitasema tu yale atakayoniambia Mwenyezi-Mungu.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 Lakini Mikaya akamjibu, “Ninaapa kwa Mwenyezi-Mungu aliye hai, mimi nitasema tu yale atakayoniambia Mwenyezi-Mungu.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu14 Lakini Mikaya akasema, “Hakika kama Mwenyezi Mungu aishivyo, nitamwambia kile tu Mwenyezi Mungu atakachoniambia.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu14 Lakini Mikaya akasema, “Hakika kama bwana aishivyo, nitamwambia kile tu bwana atakachoniambia.” Tazama sura |