1 Wafalme 21:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC16 Ikawa Ahabu aliposikia ya kwamba Nabothi amekufa, akaondoka, aliteremkie shamba la mizabibu la Nabothi Myezreeli, ili alitamalaki. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 Mara tu Ahabu aliposikia Nabothi amekwisha fariki, aliinuka kwenda kulimiliki shamba la mizabibu la Nabothi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 Mara tu Ahabu aliposikia Nabothi amekwisha fariki, aliinuka kwenda kulimiliki shamba la mizabibu la Nabothi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 Mara tu Ahabu aliposikia Nabothi amekwisha fariki, aliinuka kwenda kulimiliki shamba la mizabibu la Nabothi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 Ahabu aliposikia Nabothi amekufa, akainuka, kisha akashuka kwenda kulimiliki shamba la mizabibu la Nabothi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 Ahabu aliposikia Nabothi amekufa, akainuka na kushuka ili kulichukua shamba la mizabibu la Nabothi. Tazama sura |