1 Wafalme 20:41 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC41 Akafanya haraka akakiondoa kilemba machoni mwake, mfalme wa Israeli akamtambua kuwa ni mmoja wao manabii. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema41 Hapo, nabii akaondoa harakaharaka kitambaa usoni mwake, naye mfalme akamtambua kuwa mmoja wa manabii. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND41 Hapo, nabii akaondoa harakaharaka kitambaa usoni mwake, naye mfalme akamtambua kuwa mmoja wa manabii. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza41 Hapo, nabii akaondoa harakaharaka kitambaa usoni mwake, naye mfalme akamtambua kuwa mmoja wa manabii. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu41 Kisha yule nabii akajifunua macho yake haraka, na mfalme wa Israeli akamtambua kama mmoja wa manabii. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu41 Kisha yule nabii akajifunua macho yake haraka, na mfalme wa Israeli akamtambua kama mmoja wa manabii. Tazama sura |