Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wafalme 20:37 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

37 Ndipo akaona mtu mwingine, akasema, Nipige, nakusihi. Yule mtu akampiga, hata kumpiga na kumtia jeraha.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

37 Kisha, huyo mwanafunzi akamkuta mtu mwingine, akamwambia, “Nipige tafadhali.” Mtu huyo akampiga na kumjeruhi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

37 Kisha, huyo mwanafunzi akamkuta mtu mwingine, akamwambia, “Nipige tafadhali.” Mtu huyo akampiga na kumjeruhi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

37 Kisha, huyo mwanafunzi akamkuta mtu mwingine, akamwambia, “Nipige tafadhali.” Mtu huyo akampiga na kumjeruhi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

37 Nabii akamkuta mtu mwingine na kumwambia, “Nipige, tafadhali!” Kisha yule mtu akampiga na kumjeruhi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

37 Nabii akamkuta mtu mwingine na kumwambia, “Nipige tafadhali.” Kisha yule mtu akampiga na kumjeruhi.

Tazama sura Nakili




1 Wafalme 20:37
4 Marejeleo ya Msalaba  

Basi, mtu mmoja wa wana wa manabii akamwambia mwenzake kwa neno la BWANA, Nipige, nakusihi. Akakataa yule kumpiga.


Akamwambia, Kwa sababu hukuisikiliza sauti ya BWANA, angalia, mara ukitoka kwangu simba atakuua. Na mara alipotoka kwake, simba alimwona, akamwua.


Basi yule nabii akaenda akamngoja mfalme njiani, amejibadilisha kwa kilemba juu ya macho yake.


Mtu yeyote ampigaye mtu, hata akafa, hana budi atauawa huyo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo