Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wafalme 20:24 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

24 Ufanye neno hili; uwaondoe hao wafalme, kila mtu atoke mahali pake, ukaweke majemadari mahali pao.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

24 Sasa, wastaafishe wale wafalme thelathini na wawili na mahali pao uweke majemadari.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

24 Sasa, wastaafishe wale wafalme thelathini na wawili na mahali pao uweke majemadari.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

24 Sasa, wastaafishe wale wafalme thelathini na wawili na mahali pao uweke majemadari.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

24 Fanya hivi: Waondoe hao wafalme wote kutoka nafasi zao na uweke maafisa wengine mahali pao.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

24 Fanya hivi: Waondoe hao wafalme wote thelathini na wawili kutoka nafasi zao na uweke maafisa wengine mahali pao.

Tazama sura Nakili




1 Wafalme 20:24
6 Marejeleo ya Msalaba  

Basi, Ben-hadadi mfalme wa Aramu akakusanya jeshi lake lote; nao walikuwapo wafalme thelathini na wawili pamoja naye, na farasi, na magari: akakwea akauhusuru Samaria, akaupiga vita.


Wakatoka wakati wa adhuhuri. Lakini Ben-hadadi alikuwa akinywa hata kulewa mabandani, yeye na wale wafalme thelathini na wawili waliomsaidia.


Basi watumwa wake mfalme wa Shamu wakamwambia, Mungu wao ni mungu wa milima; ndiyo sababu ya kutushinda sisi; lakini na tupigane nao katika nchi tambarare, na hakika tutawashinda wao.


Kisha ujihesabie jeshi, kama jeshi ulilopoteza, farasi kwa farasi na gari kwa gari; nasi tutapigana nao katika nchi tambarare, na bila shaka tutawashinda. Akaisikiliza sauti yao, akafanya kama hivyo.


Basi mfalme wa Shamu alikuwa amewaamuru wakuu wa magari yake thelathini na wawili, akisema, Msipigane na mdogo wala mkuu, ila na mfalme wa Israeli peke yake.


Hapana hekima, wala ufahamu, Wala shauri, juu ya BWANA.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo