1 Wafalme 20:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC11 Mfalme wa Israeli akajibu, akasema, Mwambieni, Avaaye asijisifu kama avuaye. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Mfalme Ahabu wa Israeli akajibu, “Mwambieni mfalme Ben-hadadi kwamba shujaa hujisifu baada ya vita, si kabla!” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Mfalme Ahabu wa Israeli akajibu, “Mwambieni mfalme Ben-hadadi kwamba shujaa hujisifu baada ya vita, si kabla!” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Mfalme Ahabu wa Israeli akajibu, “Mwambieni mfalme Ben-hadadi kwamba shujaa hujisifu baada ya vita, si kabla!” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Mfalme wa Israeli akajibu, “Mwambieni, ‘Yule anayevaa mavazi ya vita asije akajisifu kama yule anayevua.’ ” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 Mfalme wa Israeli akajibu, “Mwambieni, ‘Yule anayevaa mavazi ya vita asije akajisifu kama yule anayevua.’ ” Tazama sura |