1 Wafalme 2:34 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC34 Ndipo Benaya, mwana wa Yehoyada, akapanda, akampiga, akamwua; naye akazikwa katika nyumba yake mwenyewe iliyoko nyikani. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema34 Basi, Benaya mwana wa Yehoyada, akaenda hemani, akamuua Yoabu ambaye alizikwa shambani mwake, nyikani. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND34 Basi, Benaya mwana wa Yehoyada, akaenda hemani, akamuua Yoabu ambaye alizikwa shambani mwake, nyikani. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza34 Basi, Benaya mwana wa Yehoyada, akaenda hemani, akamuua Yoabu ambaye alizikwa shambani mwake, nyikani. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu34 Basi Benaya mwana wa Yehoyada akakwea, akamgonga na kumuua Yoabu, naye akazikwa katika shamba lake mwenyewe jangwani. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu34 Basi Benaya mwana wa Yehoyada akakwea, akampiga na kumuua Yoabu, naye akazikwa katika nchi yake mwenyewe katika jangwa. Tazama sura |