1 Wafalme 2:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC14 Naye akajibu, Kwa amani. Tena akasema, Nina jambo ninalotaka kukuambia. Naye akamwambia, Sema. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema14 Ila, nina jambo moja tu la kukuambia.” Bathsheba akamwambia, “Sema tu.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 Ila, nina jambo moja tu la kukuambia.” Bathsheba akamwambia, “Sema tu.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 Ila, nina jambo moja tu la kukuambia.” Bathsheba akamwambia, “Sema tu.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu14 Kisha akaongeza, “Ninalo jambo la kukuambia.” Akajibu, “Unaweza kulisema.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu14 Kisha akaongeza, “Ninalo jambo la kukuambia.” Akajibu, “Waweza kulisema.” Tazama sura |