1 Wafalme 19:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC16 Na Yehu mwana wa Nimshi mtie mafuta awe mfalme wa Israeli; na Elisha mwana wa Shafati wa Abel-Mehola mtie mafuta awe nabii mahali pako. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 Naye Yehu, mwana wa Nimshi, mpake mafuta awe mfalme wa Israeli. Elisha, mwana wa Shafati, wa Abel-mehola, utampaka mafuta awe nabii mahali pako. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 Naye Yehu, mwana wa Nimshi, mpake mafuta awe mfalme wa Israeli. Elisha, mwana wa Shafati, wa Abel-mehola, utampaka mafuta awe nabii mahali pako. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 Naye Yehu, mwana wa Nimshi, mpake mafuta awe mfalme wa Israeli. Elisha, mwana wa Shafati, wa Abel-mehola, utampaka mafuta awe nabii mahali pako. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 Pia mpake mafuta Yehu, mwana wa Nimshi awe mfalme wa Israeli, na umpake mafuta Al-Yasa mwana wa Shafati kutoka Abel-Mehola awe nabii baada yako. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 Pia mtie mafuta Yehu mwana wa Nimshi awe mfalme wa Israeli, na umtie Al-Yasa mwana wa Shafati kutoka Abel-Mehola mafuta awe nabii badala yako. Tazama sura |