Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Wafalme 18:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

6 Basi wakaigawanya nchi, ili wapite katika nchi yote; Ahabu akaenda zake njia moja peke yake, na Obadia akaenda zake njia nyingine peke yake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Basi, wakagawana nchi ili wapate kuipitia yote; Ahabu akaenda upande mmoja na Obadia upande mwingine.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Basi, wakagawana nchi ili wapate kuipitia yote; Ahabu akaenda upande mmoja na Obadia upande mwingine.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Basi, wakagawana nchi ili wapate kuipitia yote; Ahabu akaenda upande mmoja na Obadia upande mwingine.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Kwa hiyo wakagawanya nchi waliyokusudia kutafuta majani, Ahabu akaenda upande mmoja na Obadia upande mwingine.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Kwa hiyo wakagawanya nchi waliyokusudia kutafuta majani, Ahabu akaenda upande mmoja na Obadia upande mwingine.

Tazama sura Nakili




1 Wafalme 18:6
3 Marejeleo ya Msalaba  

Ahabu akamwambia Obadia, Pita katika nchi, kwenye chemchemi zote za maji, na vijito vyote; labda tutapata majani, tuwahifadhi hai farasi na nyumbu, tusipate hasara ya hao wanyama wote.


Na Obadia alipokuwa njiani, kumbe! Eliya akakutana naye. Akamtambua, akaanguka kifudifudi, akanena, Je! Ni wewe, bwana wangu Eliya?


Na wakuu wao huwatuma watoto wao kwenye maji; Nao hufika visimani wasipate maji; Hurudi, na vyombo vyao ni vitupu; Wametahayarika na kufadhaika, Na kuvifunika vichwa vyao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo