1 Wafalme 17:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC7 Ikawa, baada ya siku kupita, kile kijito kikakatika, kwa sababu mvua haikunyesha katika nchi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 Lakini, baada ya siku chache kijito kikakauka kwa sababu hapakunyesha mvua nchini. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 Lakini, baada ya siku chache kijito kikakauka kwa sababu hapakunyesha mvua nchini. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 Lakini, baada ya siku chache kijito kikakauka kwa sababu hapakunyesha mvua nchini. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 Baada ya muda, kile kijito kikakauka kwa sababu mvua haikuwa imenyesha katika nchi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 Baada ya muda, kile kijito kikakauka kwa sababu mvua haikuwa imenyesha katika nchi. Tazama sura |