Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Wafalme 17:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

7 Ikawa, baada ya siku kupita, kile kijito kikakatika, kwa sababu mvua haikunyesha katika nchi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Lakini, baada ya siku chache kijito kikakauka kwa sababu hapakunyesha mvua nchini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Lakini, baada ya siku chache kijito kikakauka kwa sababu hapakunyesha mvua nchini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Lakini, baada ya siku chache kijito kikakauka kwa sababu hapakunyesha mvua nchini.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Baada ya muda, kile kijito kikakauka kwa sababu mvua haikuwa imenyesha katika nchi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Baada ya muda, kile kijito kikakauka kwa sababu mvua haikuwa imenyesha katika nchi.

Tazama sura Nakili




1 Wafalme 17:7
8 Marejeleo ya Msalaba  

Kunguru wakamletea mkate na nyama asubuhi, na mkate na nyama jioni, akanywa maji ya kile kijito.


Neno la BWANA likamjia, kusema,


Tazama, yuayazuia maji, nayo yakatika; Tena, huyatuma, nayo yaipindua dunia.


Amegeuza mito ikawa jangwa, Na chemchemi za maji zikawa nchi kavu.


Maana milima itaondoka, na vilima vitaondolewa; bali wema wangu hautaondoka kwako, wala agano langu la amani halitaondolewa; asema BWANA akurehemuye.


Naam, hata wanyama pori wanakulilia wewe; Kwa maana vijito vya maji vimekauka, Na moto umeyateketeza malisho ya nyikani.


BWANA atakupiga kwa kifua kikuu, na kwa homa, na kwa kuwashwa, na kwa joto jingi, na kwa upanga, na kwa ukaufu, na kwa koga; navyo vitakufukuza hata uangamie.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo