Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wafalme 15:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

9 Mwaka wa ishirini wa Yeroboamu mfalme wa Israeli, Asa alianza kutawala juu ya Yuda.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Mnamo mwaka wa ishirini wa utawala wa Yeroboamu, mfalme wa Israeli, Asa alianza kutawala huko Yuda.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Mnamo mwaka wa ishirini wa utawala wa Yeroboamu, mfalme wa Israeli, Asa alianza kutawala huko Yuda.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Mnamo mwaka wa ishirini wa utawala wa Yeroboamu, mfalme wa Israeli, Asa alianza kutawala huko Yuda.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Katika mwaka wa ishirini wa utawala wa Yeroboamu mfalme wa Israeli, Asa akawa mfalme wa Yuda,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Katika mwaka wa ishirini wa utawala wa Yeroboamu mfalme wa Israeli, Asa akawa mfalme wa Yuda,

Tazama sura Nakili




1 Wafalme 15:9
5 Marejeleo ya Msalaba  

Akatawala miaka arubaini na mmoja huko Yerusalemu; na jina la mamaye aliitwa Maaka, binti Absalomu.


Abiya akalala na baba zake, wakamzika mjini mwa Daudi. Akatawala Asa mwanawe mahali pake.


Wala Yeroboamu hakupata nguvu tena siku za Abiya; kisha BWANA akampiga, akafa.


Basi Abiya akalala na baba zake, wakamzika mjini mwa Daudi, akatawala Asa mwanawe mahali pake; katika siku zake nchi ikastarehe miaka kumi.


Naye Asa alipoyasikia maneno hayo, yaani, unabii wa mwana wa Odedi nabii, akatiwa nguvu, akayaondolea mbali machukizo yote katika nchi ya Yuda na Benyamini, na katika miji aliyoitwaa milimani mwa Efraimu; akaitengeneza upya madhabahu ya BWANA, iliyokuwako mbele ya ukumbi wa BWANA.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo