Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wafalme 14:25 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

25 Ikawa, mwaka wa tano wa mfalme Rehoboamu, akapanda Shishaki, mfalme wa Misri, juu ya Yerusalemu;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

25 Katika mwaka wa tano wa utawala wa Rehoboamu, Shishaki mfalme wa Misri, aliushambulia mji wa Yerusalemu,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

25 Katika mwaka wa tano wa utawala wa Rehoboamu, Shishaki mfalme wa Misri, aliushambulia mji wa Yerusalemu,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

25 Katika mwaka wa tano wa utawala wa Rehoboamu, Shishaki mfalme wa Misri, aliushambulia mji wa Yerusalemu,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

25 Katika mwaka wa tano wa utawala wa Mfalme Rehoboamu, Shishaki mfalme wa Misri akashambulia Yerusalemu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

25 Katika mwaka wa tano wa utawala wa Mfalme Rehoboamu, Shishaki mfalme wa Misri akashambulia Yerusalemu.

Tazama sura Nakili




1 Wafalme 14:25
3 Marejeleo ya Msalaba  

Basi Sulemani akataka kumwua Yeroboamu, lakini Yeroboamu akaondoka, akakimbilia Misri, kwa Shishaki, mfalme wa Misri, akakaa katika Misri hata wakati wa kufa kwake Sulemani.


Basi Shishaki, mfalme wa Misri, akaushambulia Yerusalemu, akazichukua hazina za nyumba ya BWANA, na hazina za nyumba ya mfalme; akazichukua zote. Akazichukua pia ngao za dhahabu alizozitengeneza Sulemani.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo