1 Wafalme 14:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC18 Israeli wote wakamzika, wakamlilia; sawasawa na neno la BWANA, alilolinena kwa mkono wa mtumishi wake Ahiya nabii. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 Watu wote wa Israeli wakamzika na kufanya matanga kama alivyosema Mwenyezi-Mungu, kwa njia ya nabii Ahiya, mtumishi wake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 Watu wote wa Israeli wakamzika na kufanya matanga kama alivyosema Mwenyezi-Mungu, kwa njia ya nabii Ahiya, mtumishi wake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 Watu wote wa Israeli wakamzika na kufanya matanga kama alivyosema Mwenyezi-Mungu, kwa njia ya nabii Ahiya, mtumishi wake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 Wakamzika na Israeli yote ikamwombolezea, kama Mwenyezi Mungu alivyokuwa amesema kupitia kwa mtumishi wake, nabii Ahiya. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 Wakamzika na Israeli yote ikamwombolezea, kama bwana alivyokuwa amesema kupitia mtumishi wake, nabii Ahiya. Tazama sura |