1 Wafalme 12:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC13 Mfalme akawajibu watu wale kwa ukali, akaliacha shauri lile wazee walilompa; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 Mfalme akawajibu watu hao kwa ukali, akapuuza shauri alilopewa na wazee, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 Mfalme akawajibu watu hao kwa ukali, akapuuza shauri alilopewa na wazee, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 Mfalme akawajibu watu hao kwa ukali, akapuuza shauri alilopewa na wazee, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 Mfalme akawajibu watu kwa ukatili. Alikataa ushauri alilopewa na wazee, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 Mfalme akawajibu watu kwa ukatili. Akikataa shauri alilopewa na wazee, Tazama sura |
Hao watu wa Israeli wakawajibu watu wa Yuda, wakasema, Sisi tunazo sehemu kumi katika mfalme, tena tunayo haki yetu katika Daudi zaidi kuliko ninyi; mbona basi ninyi mmetudharau sisi, msitake ushauri wetu kwanza katika kumrudisha tena mfalme wetu? Na maneno ya watu wa Yuda yakawa makali kuliko maneno ya watu wa Israeli.