1 Wafalme 11:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC9 Basi BWANA akamghadhibikia Sulemani kwa sababu moyo wake umegeuka, naye amemwacha BWANA, Mungu wa Israeli, aliyemtokea mara mbili, Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema9 Basi, Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli, alimkasirikia Solomoni, kwa sababu alikuwa amemwacha Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli, ingawa yeye alikuwa amemtokea mara mbili, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND9 Basi, Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli, alimkasirikia Solomoni, kwa sababu alikuwa amemwacha Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli, ingawa yeye alikuwa amemtokea mara mbili, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza9 Basi, Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli, alimkasirikia Solomoni, kwa sababu alikuwa amemwacha Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli, ingawa yeye alikuwa amemtokea mara mbili, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu9 Mwenyezi Mungu akamkasirikia Sulemani kwa sababu moyo wake uligeuka mbali na Mwenyezi Mungu, Mungu wa Israeli, aliyekuwa amemtokea mara mbili. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu9 bwana akamkasirikia Sulemani kwa sababu moyo wake uligeuka mbali na bwana, Mungu wa Israeli, ambaye alikuwa amemtokea mara mbili. Tazama sura |