Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wafalme 11:42 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

42 Na siku alizotawala Sulemani katika Yerusalemu juu ya Israeli wote zilikuwa miaka arubaini.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

42 Kwa muda wa miaka arubaini, Solomoni aliitawala nchi yote ya Israeli; makao yake yakiwa Yerusalemu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

42 Kwa muda wa miaka arubaini, Solomoni aliitawala nchi yote ya Israeli; makao yake yakiwa Yerusalemu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

42 Kwa muda wa miaka arubaini, Solomoni aliitawala nchi yote ya Israeli; makao yake yakiwa Yerusalemu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

42 Sulemani alitawala Israeli yote miaka arobaini, akiwa Yerusalemu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

42 Sulemani alitawala Israeli yote miaka arobaini, akiwa Yerusalemu.

Tazama sura Nakili




1 Wafalme 11:42
4 Marejeleo ya Msalaba  

Naye Sulemani akalala na baba zake, akazikwa katika mji wa Daudi baba yake; na Rehoboamu mwanawe akatawala mahali pake.


Na siku alizotawala Daudi juu ya Israeli zilikuwa miaka arubaini; huko Hebroni alitawala miaka saba, na katika Yerusalemu akatawala miaka thelathini na mitatu.


Sulemani akatawala katika Yerusalemu juu ya Israeli wote miaka arubaini.


Maneno ya Mhubiri mwana wa Daudi, mfalme katika Yerusalemu


Tufuate:

Matangazo


Matangazo