Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wafalme 1:43 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

43 Naye Yonathani akajibu, akamwambia Adonia, Hakika bwana wetu mfalme Daudi amemtawaza Sulemani.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

43 Ndipo Yonathani alipomjibu Adoniya, “Hapana, kwa sababu mfalme Daudi amemtawaza Solomoni kuwa mfalme;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

43 Ndipo Yonathani alipomjibu Adoniya, “Hapana, kwa sababu mfalme Daudi amemtawaza Solomoni kuwa mfalme;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

43 Ndipo Yonathani alipomjibu Adoniya, “Hapana, kwa sababu mfalme Daudi amemtawaza Solomoni kuwa mfalme;

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

43 Yonathani akamjibu, “La hasha! Mfalme Daudi bwana wetu amemfanya Sulemani kuwa mfalme.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

43 Yonathani akajibu, “La hasha! Mfalme Daudi bwana wetu amemfanya Sulemani kuwa mfalme.

Tazama sura Nakili




1 Wafalme 1:43
2 Marejeleo ya Msalaba  

Naye alipokuwa katika kunena, tazama Yonathani, mwana wa Abiathari kuhani, akafika. Naye Adonia akasema, Karibu; maana wewe u mtu mwema, unaleta habari njema.


Tena mfalme alipeleka pamoja naye Sadoki, kuhani, na Nathani, nabii, na Benaya, mwana wa Yehoyada, na Wakerethi, na Wapelethi, wakampandisha juu ya nyumbu wa mfalme.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo