Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wafalme 1:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

14 Tazama, wakati ule utakapokuwa katika kusema na mfalme, mimi nami nitaingia nyuma yako, na kuyahakikisha maneno yako.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Na utakapokuwa bado unaongea na mfalme, mimi nitaingia na kuyathibitisha maneno yako.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Na utakapokuwa bado unaongea na mfalme, mimi nitaingia na kuyathibitisha maneno yako.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Na utakapokuwa bado unaongea na mfalme, mimi nitaingia na kuyathibitisha maneno yako.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 Utakapokuwa ukizungumza na mfalme, nitaingia na kuthibitisha hayo uliyoyasema.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 Utakapokuwa ukizungumza na mfalme, nitaingia na kuthibitisha hayo uliyoyasema.”

Tazama sura Nakili




1 Wafalme 1:14
4 Marejeleo ya Msalaba  

Nenda uingie ndani kwa mfalme Daudi, ukamwambie, Je! Hukuniapia mimi mjakazi wako, Ee mfalme, bwana wangu, kusema, Hakika yake Sulemani mwana wako atamiliki baada yangu, na kuketi katika kiti changu cha enzi? Mbona basi anamiliki Adonia?


Basi Bathsheba akaingia ndani kwa mfalme, ndani ya chumba chake; naye mfalme alikuwa mzee sana; na Abishagi, Mshunami, alikuwa akimtumikia mfalme.


Hii ndiyo mara yangu ya tatu kuja kwenu. Kwa vinywa vya mashahidi wawili au watatu kila neno litathibitishwa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo