1 Timotheo 6:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC13 Nakuagiza mbele za Mungu anayevihifadhi hai vitu vyote, na mbele za Kristo Yesu, aliyeyaungama maungamo mazuri yale mbele ya Pontio Pilato, Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 Mbele ya Mungu anayevipa vitu vyote uhai, na mbele ya Yesu Kristo aliyetoa ushahidi na kukiri ukweli mbele ya Pontio Pilato, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 Mbele ya Mungu anayevipa vitu vyote uhai, na mbele ya Yesu Kristo aliyetoa ushahidi na kukiri ukweli mbele ya Pontio Pilato, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 Mbele ya Mungu anayevipa vitu vyote uhai, na mbele ya Yesu Kristo aliyetoa ushahidi na kukiri ukweli mbele ya Pontio Pilato, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 Nakuagiza mbele za Mungu avipaye vitu vyote uhai, na mbele za Al-Masihi Isa, ambaye alipokuwa anashuhudia mbele ya Pontio Pilato alikiri ukiri mzuri, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 Nakuagiza mbele za Mwenyezi Mungu avipaye vitu vyote uhai, na mbele za Al-Masihi Isa ambaye alipokuwa anashuhudia mbele ya Pontio Pilato alikiri ukiri mzuri, Tazama sura |