Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Samueli 9:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

18 Ndipo Sauli akamkaribia Samweli langoni, akasema, Tafadhali, uniambie, nyumba ya mwonaji iko wapi?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Hapo Shauli alimwendea Samueli aliyekuwa karibu na lango la mji na kumwuliza, “Nakuomba unioneshe nyumba ya mwonaji.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Hapo Shauli alimwendea Samueli aliyekuwa karibu na lango la mji na kumwuliza, “Nakuomba unioneshe nyumba ya mwonaji.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Hapo Shauli alimwendea Samueli aliyekuwa karibu na lango la mji na kumwuliza, “Nakuomba unioneshe nyumba ya mwonaji.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Sauli akamkaribia Samweli langoni na kumuuliza, “Tafadhali, je, unaweza kuniambia mahali nyumba ya mwonaji ilipo?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Sauli akamkaribia Samweli langoni na kumuuliza, “Tafadhali, je, waweza kuniambia mahali nyumba ya mwonaji ilipo?”

Tazama sura Nakili




1 Samueli 9:18
2 Marejeleo ya Msalaba  

Hata Samweli alipomwona Sauli, BWANA akamwambia, Huyu ndiye niliyekuambia juu zake; huyu ndiye atakayewamiliki watu wangu.


Samweli akamjibu Sauli, akasema, Mimi ndimi mwonaji; tangulia mbele yangu ukwee mpaka mahali pa juu, kwa maana mtakula pamoja nami leo; kisha, asubuhi nitakuacha uende zako, nami nitakuambia yote uliyo nayo moyoni mwako.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo