1 Samueli 25:27 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC27 Na sasa zawadi hii, mjakazi wako aliyomletea bwana wangu, na wapewe vijana wamfuatao bwana wangu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema27 Bwana wangu, nakuomba upokee zawadi hii niliyokuletea, na uwape vijana wanaokufuata. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND27 Bwana wangu, nakuomba upokee zawadi hii niliyokuletea, na uwape vijana wanaokufuata. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza27 Bwana wangu, nakuomba upokee zawadi hii niliyokuletea, na uwape vijana wanaokufuata. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu27 Nayo zawadi hii ambayo mtumishi wako amemletea bwana wangu, wapewe watu wanaofuatana nawe. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu27 Nayo zawadi hii ambayo mtumishi wako amemletea bwana wangu, wapewe watu wanaofuatana nawe. Tazama sura |