1 Samueli 20:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC10 Basi Daudi akamwambia Yonathani, Ni nani atakayeniambia, ikiwa baba yako amekujibu maneno makali? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 Daudi akauliza, “Nitajuaje ikiwa baba yako atakujibu kwa ukali?” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 Daudi akauliza, “Nitajuaje ikiwa baba yako atakujibu kwa ukali?” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 Daudi akauliza, “Nitajuaje ikiwa baba yako atakujibu kwa ukali?” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 Daudi akamuuliza Yonathani, “Je, nani atakayeniambia kama baba yako atakujibu kwa ukali?” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 Daudi akamuuliza, “Je, nani atakayeniambia kama baba yako atakujibu kwa ukali?” Tazama sura |