Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Samueli 20:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

10 Basi Daudi akamwambia Yonathani, Ni nani atakayeniambia, ikiwa baba yako amekujibu maneno makali?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Daudi akauliza, “Nitajuaje ikiwa baba yako atakujibu kwa ukali?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Daudi akauliza, “Nitajuaje ikiwa baba yako atakujibu kwa ukali?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Daudi akauliza, “Nitajuaje ikiwa baba yako atakujibu kwa ukali?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Daudi akamuuliza Yonathani, “Je, nani atakayeniambia kama baba yako atakujibu kwa ukali?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Daudi akamuuliza, “Je, nani atakayeniambia kama baba yako atakujibu kwa ukali?”

Tazama sura Nakili




1 Samueli 20:10
10 Marejeleo ya Msalaba  

Mtu yule aliye bwana wa nchi alisema nasi kwa maneno makali, akatufanya tu wapelelezi wa nchi.


Yusufu akawaona nduguze, akawatambua, lakini alijifanya kama mgeni kwao. Akasema nao kwa maneno makali, akawaambia, Mmetoka wapi ninyi? Wakasema. Tumetoka nchi ya Kanaani, ili tununue chakula.


Mfalme akawajibu watu wale kwa ukali, akaliacha shauri lile wazee walilompa;


Maskini hutumia maombi; Bali tajiri hujibu kwa ukali.


Yonathani akamwambia Daudi, Twende zetu nje mashambani. Wakatoka wote wawili, wakaenda mashambani.


Naye Yonathani akasema, Haya na yawe mbali nawe, kwa maana kama ningejua ya kuwa baba yangu amekusudia kukutenda neno baya, je! Singekuambia?


Naye Nabali akawajibu wale watumishi wa Daudi, akasema, Huyu Daudi ni nani? Na mwana wa Yese ni nani? Siku hizi kuna watumishi wengi wanaomtoroka kila mtu bwana wake!


Lakini kijana mmojawapo alimpasha habari Abigaili, mkewe Nabali, akasema, Tazama, Daudi alituma wajumbe kutoka nyikani waje ili kumsalimu bwana wetu, naye akawatukana.


Basi sasa ujue na kufikiri utakayotenda; kwa sababu yamekusudiwa mabaya juu ya bwana wetu, na juu ya nyumba yake yote; kwa kuwa yeye ni mtu asiyefaa kabisa, hata mtu hawezi kusema naye.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo