1 Samueli 17:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC11 Basi Sauli na Israeli wote waliposikia maneno hayo ya Mfilisti, wakafadhaika na kuogopa sana. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Shauli pamoja na wanajeshi wote wa Israeli walipoyasikia maneno hayo ya Mfilisti huyo, walifadhaika na kuogopa sana. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Shauli pamoja na wanajeshi wote wa Israeli walipoyasikia maneno hayo ya Mfilisti huyo, walifadhaika na kuogopa sana. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Shauli pamoja na wanajeshi wote wa Israeli walipoyasikia maneno hayo ya Mfilisti huyo, walifadhaika na kuogopa sana. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Kwa kusikia maneno ya Wafilisti, Sauli na Waisraeli wote wakafadhaika na kuogopa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 Kwa kusikia maneno ya Wafilisti, Sauli na Waisraeli wote wakafadhaika na kuogopa. Tazama sura |