1 Samueli 13:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC20 lakini Waisraeli wote hushuka kwa Wafilisti, ili kunoa kila mtu jembe lake, na mundu wake, na shoka lake, na sululu yake; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema20 Kila Mwisraeli alilazimika kuwaendea Wafilisti kunoa wembe wa plau yake au sururu au shoka au mundu wa kuvunia. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND20 Kila Mwisraeli alilazimika kuwaendea Wafilisti kunoa wembe wa plau yake au sururu au shoka au mundu wa kuvunia. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza20 Kila Mwisraeli alilazimika kuwaendea Wafilisti kunoa wembe wa plau yake au sururu au shoka au mundu wa kuvunia. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu20 Hivyo Waisraeli wote waliteremka kwa Wafilisti ili kila mtu kunoa plau yake, jembe lake, shoka lake, au mundu wake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu20 Hivyo Waisraeli wote huteremka kwa Wafilisti ili kunoa majembe ya plau, majembe ya mkono, mashoka na miundu. Tazama sura |