1 Samueli 11:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC8 Naye akawahesabu huko Bezeki; Waisraeli walikuwa elfu mia tatu, na Wayuda elfu thelathini. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Shauli alipowapanga Waisraeli huko Bezeki akawa na watu 300,000 kutoka Israeli na 30,000 kutoka Yuda. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Shauli alipowapanga Waisraeli huko Bezeki akawa na watu 300,000 kutoka Israeli na 30,000 kutoka Yuda. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Shauli alipowapanga Waisraeli huko Bezeki akawa na watu 300,000 kutoka Israeli na 30,000 kutoka Yuda. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Sauli alipowakusanya huko Bezeki, wanaume wa Israeli walikuwa elfu mia tatu, na wanaume wa Yuda elfu thelathini. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Sauli alipowakusanya huko Bezeki, watu wa Israeli walikuwa 300,000 na watu wa Yuda 30,000. Tazama sura |