Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Samueli 10:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

17 Basi Samweli akawakusanya watu mbele za BWANA huko Mispa

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Samueli aliwaita watu wote wakusanyike mbele ya Mwenyezi-Mungu huko Mizpa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Samueli aliwaita watu wote wakusanyike mbele ya Mwenyezi-Mungu huko Mizpa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Samueli aliwaita watu wote wakusanyike mbele ya Mwenyezi-Mungu huko Mizpa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 Samweli akawaita watu wa Israeli kuja kwa Mwenyezi Mungu huko Mispa,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 Samweli akawaita watu wa Israeli kuja kwa bwana huko Mispa,

Tazama sura Nakili




1 Samueli 10:17
6 Marejeleo ya Msalaba  

Nimekupa mfalme katika hasira yangu, nikamwondoa katika ghadhabu yangu.


Ndipo Yeftha akaenda pamoja na wazee wa Gileadi, na hao watu wakamfanya awe kiongozi, tena mkuu, juu yao; naye Yeftha akanena maneno yake yote mbele ya BWANA huko Mispa.


Ndipo wana wa Israeli walipotoka; na mkutano ukakutanika kama mtu mmoja, kutoka Dani hadi Beer-sheba, pamoja na nchi ya Gileadi wakamkutanikia BWANA huko Mispa.


Nao watu wote wakaenda Gilgali; wakamtawaza Sauli mbele za BWANA huko Gilgali; wakachinja sadaka za amani mbele za BWANA; na huko Sauli na watu wote wa Israeli wakafurahi sana.


Naye huenda mwaka kwa mwaka kuzunguka mpaka Betheli, na Gilgali, na Mispa; akawaamua katika miji yote ya Israeli.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo