1 Petro 3:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC17 Maana ni afadhali kuteswa kwa kutenda mema, ikiwa ndiyo mapenzi ya Mungu, kuliko kwa kutenda mabaya. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema17 Maana ni afadhali kuteseka kwa sababu ya kutenda mema, kama Mungu akipenda, kuliko kuteseka kwa sababu ya kutenda uovu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND17 Maana ni afadhali kuteseka kwa sababu ya kutenda mema, kama Mungu akipenda, kuliko kuteseka kwa sababu ya kutenda uovu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza17 Maana ni afadhali kuteseka kwa sababu ya kutenda mema, kama Mungu akipenda, kuliko kuteseka kwa sababu ya kutenda uovu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu17 Kwa maana ni afadhali kupata mateso kwa ajili ya kutenda mema, ikiwa ni mapenzi ya Mungu, kuliko kuteseka kwa kutenda maovu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu17 Kwa maana ni afadhali kupata mateso kwa ajili ya kutenda mema, kama kuteseka huko ndiyo mapenzi ya Mwenyezi Mungu, kuliko kuteseka kwa kutenda maovu. Tazama sura |